Saturday, March 2, 2013

Misamaha ya kodi kwa taasisi za kijamii na taasisi za kidini (Charitable Organizations and Religious Organizations)


Suala la misamaha ya kodi limekuwa likizugumzwa kwa muda sasa. Ukweli linawatatiza wengi wetu, wengi tunaweza kuwa hatulifahamu vizuri. Ebu tuangalie sheria inasemaje! Sheria yetu ya kodi inayotumika ni ile ya mwaka 2004 ambayo imefanyiwa marekebisho madogo madogo kadhaa. Kwa sasa naamini toleo linatumika ni lile la mwaka 2006 kwani ndio sheria iliyoko hata kwenye tovuti yaTRA Income Tax Act (Amended), 2006.
Naomba niweke wazi kwamba, kwa mtazamo wangu, sheria yetu iko vizuri kama ikiwa kwenye "mikono salama" nasema mikono salama kutokana na matukio mfano regea kesi ya Bazir Mramba . Lakini mjadala hapa ni misamaha ya kodi.
Katika sheria inayotumika hivi sasa, msamaha wa kodi unaweza kuja kwa namna mbili. SOMA ZAIDI


Maoni Mbadala kwenye ukurasa wa twitter


No comments:

Post a Comment

Popular Posts