MAONI NA MAPENDEKEZO KWENYE KATIBA
MPYA
Ø
UHURU WA
KUPATA HABARI.
a) Uhuru
wa jambo hilo la kupata hapbari ni muhimu sana katika sehemu mbalimbali za nchi
yetu hii ya Tanzania, hivyo tungependa kupendekeza kuwa ibara ya (30 sehemu
ndogo ya 4) ni bora ifutwe katika katiba hii, kwa kuwa kuna kifungu cha 29 (2)b
tayari imesha eleza juu ya umuhimu wa namna na haki ya kupata habari kama
mwananchi na ni haki yake ya msingi.
b) Tungependa
kuwa ibara ya 30 (4) ni bora iwekwe kwenye sura ambazo zinahusika na usalama wa
taifa sura ya 15 kwani inampa fursa na uwanja mpana wa kujadiliwa katika katiba
kuliko nafasi ya kujadili ndani ya bunge kwani nafasi ya kujadili ndani ya
bunge kwani nafasi yao ni ndogo na
hakuna uwanja mpana kuliko katika katiba.
c) Kuwepo
kwa vyombo vya umma ambavyo havihusiani na vyama vya siasa na view na uhuru