Jana (sio jana) nilipata challange kutoka kwa dada maria kuhusu kutengeneza
baraza la mawaziri lenye wizara 10-15 baraza dongo lakini hatukuafikia
pale nilipo mwambia ningependa kuwe na manaibu waziri kwenye baadhi ya
wizara.Katika mjadala wangu na dada maria twitter nilionyesha wizara zangu 10
+ wizara ndogo 3 hapa ukimweka na waziri mkuu unapata baraza la
mawaziri lenye mawaziri kamaili 14.
Lakini nikajenga hoja kutakuwa na wizara kama 7 ambazo