Jana (sio jana) nilipata challange kutoka kwa dada maria kuhusu kutengeneza
baraza la mawaziri lenye wizara 10-15 baraza dongo lakini hatukuafikia
pale nilipo mwambia ningependa kuwe na manaibu waziri kwenye baadhi ya
wizara.Katika mjadala wangu na dada maria twitter nilionyesha wizara zangu 10
+ wizara ndogo 3 hapa ukimweka na waziri mkuu unapata baraza la
mawaziri lenye mawaziri kamaili 14.
Lakini nikajenga hoja kutakuwa na wizara kama 7 ambazo
Sunday, November 25, 2012
Monday, June 18, 2012
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, BAJETI 2012/2013
Ili kuweka kumbukumbu sawa hii hapa chini ni hotuba
kamili ya bajeti 2012/2013 kama ilivyosomwa na waziri wa fedha
DKT. WILLIAM A. MGIMWA (MB.)
14 JUNI 2012kwa hotuba kamili BOFYA HAPA
Tuisome kwa makini ili kujua ubora na mapungu yake,
ni vyema kuelewa maeneo yote ya bajeti ya nchi yetu
Labels:
Uchumi
Sunday, June 3, 2012
Hotuba Ya Raisi Kikwete
Kama ilivyo ada, namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehma, kwa kutujaalia uhai na kutuwezesha kumaliza mwezi Mei salama. Kwa kutumia utaratibu wetu wa kuzungumza kwa njia hii kila mwisho wa mwezi, leo nitazungumzia mambo matatu.
Mkutano wa G-8Jambo la kwanza, ni suala la usalama wa chakula na lishe. Duniani, inakadiriwa kuwa kuna watu milioni 925 wanaokabiliwa na njaa na lishe duni. Kati ya hao Afrika ina watu milioni 239 ambao ni karibu theluthi moja ya watu wote wenye tatizo la njaa na lishe duni kote duniani.
Nchi za Afrika zenye tatizo la njaa kiasi cha kuhitaji msaada wa chakula kutoka nje ni 27. Kati ya hizo 11 zina matatizo makubwa zaidi. Tanzania siyo miongoni mwa nchi hizo, hata hivyo bado hatujafikia kiwango cha kujitosheleza kabisa. Hivi sasa tumefikia asilimia 95 na kila mwaka yapo maeneo nchini yanayopata msaada wa chakula kutoka Serikalini.
Mwaka 2009, katika mkutano wao wa L’Aquila, Italia, viongozi wa nchi nane tajiri kuliko zote duniani waliamua kuchukua hatua ya kuzisaidia nchi zinazoendelea duniani kukabiliana na tatizo la njaa na lishe duni. Katika mkutano ule waliahidi kutoa dola za Marekani bilioni 22 kwa ajili hiyo. Tanzania tunategemea kupata
Tuesday, May 29, 2012
Migongano baina ya wazanzibari na watanganyika haikuanza baada ya muungano mwaka 1964
Makala ya Mdau
Interraction baina ya wazanzibari na watanganyika haikuanza baada ya muungano mwaka 1964. Kwa mujibu ya wazee waliotutangulia, wanadai, hapo kale walikuwa wakivuka kwa majahazi kuja kufanya biashara Tanganyika na wafanyakazi wengi wa kule visiwani hasa Pemba walikuwa wanatoka Bara, walijulikana kwa jina la pamoja kuwa WANYAMWEZI.
Mzee aliyenipa simulizi hizi anadai yeye alikuja bara kabla ya muungano lakini si peke yake bali hata huyo Karume walikuwa nae Tanganyika kabla hata ya mapinduzi ya zanzibar. Wapo watanganyika na wazanzibar waliooana kabla ya muungano na wapo waliohamisha makazi yao kuelekea bara au visiwani kabla ya ya muungano na analaani UROHO WA KISIASA wa wanasiasa wa Zanzibar na Tanganyika wa kipindi hicho kwa kutumia undugu na muingiliano baina ya bara na visiwani on their political advantage.
Karume kwa upande wake alikuwa na sababu zake binafsi za kuingia kwenye muungano na Nyerere pia alikuwa na sababu zake binafsi ambazo, kwa namna moja au nyengine zimechangia kuufanya muungano huu
wa kisiasa kulega lega.
“unajua karume alitiwa upofu na matatizo yake yaliyokuwa yanamkabili kwa wakati ule hivyo, terms zozote
Interraction baina ya wazanzibari na watanganyika haikuanza baada ya muungano mwaka 1964. Kwa mujibu ya wazee waliotutangulia, wanadai, hapo kale walikuwa wakivuka kwa majahazi kuja kufanya biashara Tanganyika na wafanyakazi wengi wa kule visiwani hasa Pemba walikuwa wanatoka Bara, walijulikana kwa jina la pamoja kuwa WANYAMWEZI.
Mzee aliyenipa simulizi hizi anadai yeye alikuja bara kabla ya muungano lakini si peke yake bali hata huyo Karume walikuwa nae Tanganyika kabla hata ya mapinduzi ya zanzibar. Wapo watanganyika na wazanzibar waliooana kabla ya muungano na wapo waliohamisha makazi yao kuelekea bara au visiwani kabla ya ya muungano na analaani UROHO WA KISIASA wa wanasiasa wa Zanzibar na Tanganyika wa kipindi hicho kwa kutumia undugu na muingiliano baina ya bara na visiwani on their political advantage.
Karume kwa upande wake alikuwa na sababu zake binafsi za kuingia kwenye muungano na Nyerere pia alikuwa na sababu zake binafsi ambazo, kwa namna moja au nyengine zimechangia kuufanya muungano huu
wa kisiasa kulega lega.
“unajua karume alitiwa upofu na matatizo yake yaliyokuwa yanamkabili kwa wakati ule hivyo, terms zozote
Labels:
siasa
Monday, May 28, 2012
Change Tanzania kwenye mitandano ya kijamii
Jiunge na Change Tanzania kwenye facebook BOFYA HAPA
Pia kwenye mtandao wa twitter unaweza kuifuata Change Tanzania HAPA
Watanzania wote mnakaribishwa, lengo ni kusukuma gurudumu la maendeleo
kwa namna yetu
Pia kwenye mtandao wa twitter unaweza kuifuata Change Tanzania HAPA
Watanzania wote mnakaribishwa, lengo ni kusukuma gurudumu la maendeleo
kwa namna yetu
Monday, March 5, 2012
committed citizens can change the world
Never doubt that a small group of thoughtful,
committed citizens can change the world;
indeed,
it's the only thing that ever has.
” - Margaret Meade
Subscribe to:
Posts (Atom)

