Saturday, September 14, 2013

UTAFITI WA @Twaweza_NiSisi : 83% ya watu hawaikubali kodi ya sh 1,000 kwa mwezi kwa kila laini ya simu #NoSimCardTax

FOR ENGLISH SEE BELOW
 Mnamo tarehe 25 Juni, 2013, bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha wa 2013/2014 ilipitishwa Bungeni.

Siku chache baada ya kupitishwa kwa bajeti, ilionekana kuwa Serikali ilikuwa imeanzisha tozo ya kila mwezi ya TZS 1,000 kwa kila kadi ya simu ya mkononi (Sim card). Jambo la kushangaza lilikuwa, wabunge pamoja na wananchi wa kawaida waliokuwa wakifuatilia hotuba ya bajeti walidai kuwa kodi hiyo, iliyojulikana kama “Kodi ya Kadi ya SIM”, haikujadiliwa Bungeni. Ili lilizua mjadala wa kitaifa miongoni

Popular Posts