Tuesday, March 5, 2013

NAFASI YA WALIMU WAPEWE WALIMU NA WATHAMINIWE


Tukubali tukiamini walimu wanajua matatizo yanayoikumba Elimu kuliko mtu mwingine yeyote. Tuwapatie fursa stahiki katika kuleta suluhu matatizo ya Elimu nchini.
Mwalimu ni mlezi wa kiroho, kiakili na kimwili wa wanafunzi. Tatizo la ufaulu mdogo wa wanafunzi wahitimu wa kidato cha 4 mtihani wa mwaka 2012 kwa sehemu kubwa na kwa kiasi kikubwa ni matokeo ya malezi duni, kiroho, kimwili na kiakili ambapo mwalimu amenyang'anywa jukumu lake na kuachiwa kisehemu kidogo tu katika malezi ya kiakili kwa kuwafundisha watoto majibu ya SOMA ZAIDI 

No comments:

Post a Comment

Popular Posts