Wednesday, February 27, 2013

Poor Service is what we hate


Udereva wa namna hii ni hatari kwa maisha yako



TANZANIA TUJIFUNZE KUTOKA NCHI ZINAZOONGOZA KWA ELIMU BORA DUNIANI


Baada ya matokeo mabaya ya kidato cha nne mwaka 2012 nimeshawishika kuandika uchambuzi huu kuhusu elimu na nchi zinazofanya vyema duniani kielimu.
Nchi zinazoongoza kwa elimu bora duniani ni Finland namba moja na Korea ya Kusini inashikilia namba mbili.
Utafiti uliofanyika ili kuzipa hizi nchi mbili nafasi ya kwanza na ya pili ni majumuisho ya matokeo ya mitihani ya READ  MORE

Sunday, February 24, 2013

Barabara ya Mwai Kibaki tunawezaipa jina jipya shiriki mchakato


Kama Change Tanzania tunaungana na wananchi katika masikitiko yao kwa Old Bagamoyo Road kubadilishwa jina na kuitwa Mwai Kibaki Road, maelezo ya wananchi wengi ni kwamba Raisi Mwai Kibaki hana mchango wote katika nchi yetu sasa inakuwaje tunalienzi jina lake (Tuna muenzi Mwai Kibaki) hapa nchini kwa kuweka jina lake katika barabara zetu?.
Change Tanzania kupitia kiongozi wake Maria ilifanya mazungumzo na Meya Jerry Silaa ameeleza Change Tanzania kuwa jina la Kibaki road linaweza kubadilishwa ila haiwezi kuitwa jina lake la zamani Old Bagamoyo Road. Tuko tayari kupeleka maombi na tunahitaji mapendekezo ya jina la barabara. soma zaidi na shiriki hapa  


Saturday, February 23, 2013

Tanzania's headlines 23/02/2013


Dar es Salaam. About a week ago, I read an article in the print media by Prosper Makene titled ‘Arusha institute goes for anti-plagiarism software to promote academic honesty’.
I found it enlightening, as it touched on the negative and positive effects of the internet, particularly in relation to plagiarism at our institutions of higher learning READ MORE

------------------------------------------------------------------------------------------------------------
ZAMBIA has sold 20,000 metric tonnes of maize to Tanzania at a cost of US$7 million. This is under a special bilateral agreement that was facilitated by the countries’ heads of State. An agreement was signed in Lusaka yesterday at the Food Reserve Agency, which will allow Zambia to supply the commodity to Tanzania despite a ban of maize and mealie-meal exports READ MORE

------------------------------------------------------------------------------------------------------------
VENTURES AFRICA – The Tanzania Posts Corporation is to go digital, in line with other posts companies seeking to grow their revenue generation base and to keep pace with technological advancements. Postal office officials and experts told a briefing yesterday that it was READ MORE
------------------------------------------------------------------------------------------------------------
BP Oil, a firm that traded in petroleum business for many years in Tanzania, has expressed interest to invest in natural gas exploration and drilling in the country. READ MORE





Tuimarishe misingi ya uhuru na haki ni muhimu katika maendeleo ya nchi


(a) Kwamba binadamu wote ni sawa;
(b) Kwamba kila mtu anastahili heshima;
(c) Kwamba kila raia ni sehemu ya Taifa na anayo haki ya kushiriki sawa na wengine katika Serikali tangu ya Mitaa, ya Mikoa hadi Serikali Kuu;
(d) Kwamba kila raia anayo haki ya uhuru wa kutoa mawazo yake, ya kwenda anakotaka, uhuru wa kuamini dini anayotaka na wa kukutana na watu mradi havunji Sheria; SOMA ZAIDI

Sunday, February 17, 2013

Tuungane na G20 kupambana na makampuni ya kimataifa ukwepaji kodi

Hii video imechukua mazingira mbalimbali Tanzania/Mtanzania ili kutoa picha halisi ya nchini yetu hasa kiuchumi, hali ya masoko yetu na maliasi tulizo nazo( Tazama hapa ). Kwa maliasili tulizonazo UCHUMI wa wananchi huko chini sana, lazima tujenge mfumo ambao mwananchi ananufaika moja kwa moja na maliasili zilizojaa kila kona, watanzania walio wengi wanaishi maisha duni kama ambavyo hiyo video inaonyesha, wanafanya shughuli za uzalishaji katika mazingira duni, mazingi ambayo hata mteja SOMA ZAIDI

Tanzania yetu katika video, maliasili na shughuli za kiuchumi



ISHI MABADILIKO UYATAKAYO KWA VITENDO (be the change you want to see)

Nilikuwa natafuta sehemu ambayo sitamhukumu Slaa kwa sababu mimi ni CCM, na mwenzangu hatamhukumu kikwete kwa sababu yeye ni CHADEMA bali kutokana na utendaji wao na sera, na ninaposema kuhukumu simaanishi kumwita kikwete fisadi kwenye mtandao, au kuzungumza maisha ya ndoa ya slaa kwenye facebook lakini kumhukumu kwenye sanduku la kura soma zaidi

Shughuli za kiuchumi, #ChangeTanzania #Matukio #Picha


Tuesday, February 12, 2013

MAAMUZI YA KUFUTWA POAC HAYAKUBALIKI TUMWAMBIE SPIKA ANNA MAKINDA NA NAIBU WAKE JOB NDUGAI

Hatua ya spika kufuta POAC imesikitisha sana. Kama Change Tanzania ni muhimu tukashiriki kutetea uwepo wa POAC kutokana na umuhimu wake. Kabla hatujaenda mbali tuweke wazi watu tuliowapa dhamana kuliongoza bunge na mawasiliano yao
Spika Anne Makinda
mawasiliano yake bofya yanapatikana hapa ::  +255 754 465226/+255 784 465226
amakinda@parliament.go.tz  pia unaweza wasiliana naye kwa online form BOFYA HAPA
Naibu spika Ndugai mawasiliano yake bofya yanapatikana hapa
namba zake ni : +255 762 605 951 /+255 655 605 951
 email: jndugai@parliament.go.tz
 Tunaomba wananchi mzungumze na spika na naibu wake kwa njia ya simu hizo hapo juu ili wapete mtazamo mpana kuhusu maamuzi waliyochukua, lakini pia watanzania tuongee nao juu ya utendaji wao kwa ujumla, uvunjwaji wa Kamati ya mahesabu ya mashirika ya umma yaani POAC iwe ni sehemu ya maoni yetu kwao.

Tukiendelea kukaa kimya huku tukilalamika pembeni sio sahihi, yatupasa tuwasiliane nao ili watafakari kwa

Popular Posts