Baada ya matokeo mabaya ya kidato cha nne mwaka 2012 nimeshawishika kuandika uchambuzi huu kuhusu elimu na nchi zinazofanya vyema duniani kielimu.
Nchi zinazoongoza kwa elimu bora duniani ni Finland namba moja na Korea ya Kusini inashikilia namba mbili.
Utafiti uliofanyika ili kuzipa hizi nchi mbili nafasi ya kwanza na ya pili ni majumuisho ya matokeo ya mitihani ya READ MORE
No comments:
Post a Comment