ISHI MABADILIKO UYATAKAYO KWA VITENDO (be the change you want to see)
Nilikuwa natafuta sehemu
ambayo sitamhukumu Slaa kwa sababu mimi ni CCM, na mwenzangu hatamhukumu
kikwete kwa sababu yeye ni CHADEMA bali kutokana na utendaji wao na sera, na
ninaposema kuhukumu simaanishi kumwita kikwete fisadi kwenye mtandao, au
kuzungumza maisha ya ndoa ya slaa kwenye facebook lakini kumhukumu kwenye
sanduku la kura soma zaidi
No comments:
Post a Comment