Sunday, February 24, 2013

Barabara ya Mwai Kibaki tunawezaipa jina jipya shiriki mchakato


Kama Change Tanzania tunaungana na wananchi katika masikitiko yao kwa Old Bagamoyo Road kubadilishwa jina na kuitwa Mwai Kibaki Road, maelezo ya wananchi wengi ni kwamba Raisi Mwai Kibaki hana mchango wote katika nchi yetu sasa inakuwaje tunalienzi jina lake (Tuna muenzi Mwai Kibaki) hapa nchini kwa kuweka jina lake katika barabara zetu?.
Change Tanzania kupitia kiongozi wake Maria ilifanya mazungumzo na Meya Jerry Silaa ameeleza Change Tanzania kuwa jina la Kibaki road linaweza kubadilishwa ila haiwezi kuitwa jina lake la zamani Old Bagamoyo Road. Tuko tayari kupeleka maombi na tunahitaji mapendekezo ya jina la barabara. soma zaidi na shiriki hapa  


No comments:

Post a Comment

Popular Posts