Thursday, August 22, 2013

Taarifa kwa umma wazungumzaji katika Baraza la Katiba la #ChangeTanzania 24/08/2013

Taarifa kuhusu Baraza la Katiba la Change Tanzania (wazungumzaji watakao kuwepo kwenye Baraza )https://www.facebook.com/events/622501621114767/ kama ilivyopangwa Tarehe 24/08/2013, 
Ili kufanikisha kutakuwa na wazungumzaji wafuatao
John Ulanga - Mkurugenzi mtendaji wa Foundation for Civil Society
Dr Azaveli Lwaitama - Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Tumaini na mhadhiri mstaafu wa UDSM
Irenei Kiria - Mkurugenzi mtendaji wa SIKIKA
Daniel Welwel - mwanasheria wa Mahakama Kuu, na mwanasheria wa Asyla Attorneys pia mwanaharakati
Deodatus Balile - Mhariri Mtendaji wa gazeti la JAMHURI

From Topics point of view:
Ulanga - Utangulizi – Tanzania tuko wapi na mwelekeo wetu kama taifa?
Dr Lwaitama na Irenei - Uwajibikaji wa taasisi na viongozi kwa wananchi na kuoanisha mfumo wa uwajibishaji
Dan Welwel - Uraia ikiwa ni pamoja na uraia mbili (dual nationality), upatikanaji wa uraia na haki za raia wa Tanzania kwa ujumla
Balile - Uhuru wa kutoa na kupata habari

No comments:

Post a Comment

Popular Posts