Sunday, June 16, 2013

Maoni ya mdau wa changetanzania juu ya bajeti 2013/2014

1. UTANGULIZI.

Haya ni maoni yangu kuhusu Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2013/2014. Nimeisoma bajeti yote, hivyo mchango wangu nimeuweka kwenye vipengele vikuu vitatu:

1.) Mipango Mizuri - kwa ajili ya kuwapa motisha viongozi na kuboresha zaidi,

2.) Mipango ya Kurekebisha - ambayo naona ni kandamizi kwa mwananchi, na

3.) Mtazamo wa Jumla na Mapendekezo.

Kwa mambo ambayo nimeona ni ya kawaida sitayagusia; lakini jambo ambalo kwangu ni la kawaida ila kwa wananchi wenzangu linaweza kuwa la mashaka kwao limeligusia.Soma kwa undani hapa changetanzania official website 

No comments:

Post a Comment

Popular Posts